PROF JAY:KAMA IPO (KUNA KUPANDA NA KUSHUKA)



Kuna msemo wa Kiswahili usemao; Kimya Kingi Kina Mshindo Mkuu..Sina uhakika kwamba msemo huu una maana moja au la ila naamini kwamba unafanana na ule wa Ukiona Kobe Kainama,jua anatunga sheria! Leo napenda kuihusisha misemo hiyo na kitu ninachotaka kukuletea.

Baada ya kimya cha miaka takribani mitatu,Prof.Jay anarejea tena.

Wimbo unaitwa Kama Ipo(Kupanda na Kushuka). Tofauti na nyimbo nyingi za siku hizi ambazo hugusia sehemu moja tu ya maisha yetu binadamu,Prof.Jay katika wimbo huu anakumbusha,,kuburudisha na kuweka mambo mengi sawa katika suala zima la maisha ambayo kama ujuavyo,yana kupanda na kushuka.

JAYZ NDANI YA NUDE BEACH

JAYZ NCHINI UFARANSA!





JAYZ KATIKATI YA REAHANA NA BEYONCE KATIKA POZI BAADA YA MKUTANO WA KUIJADILI BONGO!

Unadhani walizungumza nini?Kaa tayari kupata taarifa kamili ndani ya eneo lalako...!

HAWA NDIO WANAFUNZI KUTOKA IFA TANZANIA


Hapa wako katika pozi baada ya mafunzo darasani.

TANGAZO KWA WASANII WA FILAMU!

Mradi wa kuibua vipaji vya sanaa, IFA Tanzania, wanakuja na mafunzo maaalumu ya ujasiriamali wa filamu (INTERPREFILM COURSE). Sikiliza Tangazo lao hapa;
INTERPREFILM COURSE
- Utunzi na uandishi wa story (Screenwriting)
- Uigizaji na Upangaji wasanii (Acting & Casting)
- Uzalishaji na Uongozaji (Producing & Directing)
- Ubunifu wa Sauti (Sound Designing)
- Upigaji Picha (Cinematography)
- Uhariri wa Sinema (Editing)
- Masoko (Marketing)
WAKATI WA MAFUNZO
- Mwanafunzi atapatiwa kitambulisho, Tshirt maalumu na kukutanishwa na wadau na wasanii wakubwa ili kupanua uelewa wake.
BAADA YA MAFUNZO
- Itafanyika filamu ya mafunzo kwa vitendo (Practical Film) kuthibitisha uelewa wa mwanafunzi.
- Vyeti vya uthibitisho vitatolewa kwa wote.
- Msanii kuajiriwa na kampuni wasimamizi, wadau au kujiajiri mwenyewe!
MUDA WA KOZI: Miezi mitatu (3)
KUANZIA: Tarehe 21/02/2011
FORM ZA KUJIUNGA ZINAPATIKANA KWA Tsh.1O,000/= Chuoni - Chuo Cha Elimu Kuu sanaa,mkabala na Club Sun Cirro,Sinza Legho au waweza kuzipata form pia ndani ya salon ya kimue ya Mate Barbarshop,Ubungo Riverside,mkabala na Landmark Hotel.

Kwa mawasiliano, Piga au sms 0714 169665 au 0754 679057

DAR 2 KASULU!


Safari yangu kutoka Dar mpaka Kasulu ilikuwa tamu sana!Leo natimiza wiki na siku sita sasa!Namshukuru Mungu kwa kunifikisha salama!Bila shaka bilika pilika za kampeni zitakwisha vyema pamoja na michongo mingine ya kimaendeleo!