Ladha mpya katika filamu Tanzania,,,





Pichani ni bbaadahi ya wasanii walioigiza Filamu ya THE STOLEN DREAM, iliyotengenezwa na kampuni ya THE ICON ENTERTIMENT chini ya producer ni FETTY KABOMA.
Baadhi ya mastar waliomo ni chuchu hans,jengua,danny kaboma (msanii wa zamani wa kundi la kidedea),anna msangi au siri (mama anaefanya vizuri sokoni akiwa na filamu kibao kama ndoa yangu ya kanumba aliyocheza kama mama wa jack worlper na nyingine nyingi),bi ndoza au bi farida anaecheza kwenye tamthia ya siri ya mtungi na wengine wengi.
Director wa filamu hiyo ni ABUBAKARI MTEGWA,,

No comments: