Swahili Abroad,

Blog kabambe na ya ukweli wa news za kijanja kuhusu pilikapilika za maisha ya ughaibuni wanayoishi ndugu zetu watokeao Afrika Mashariki, itakuwa hewani muda wowote kuanzia leo. Maudhui makuu ya blog hii ni kuwa daraja la habari za  maisha halisi kati ya ughaibuni na Afrika Mashariki. Wanaafrika Mashariki wanaozungumza lugha ya Kiswahili walio ughaibuni, wanahusika pia. Hapa utapata makala zinazozungumzia maisha yao halisi, burudani, michezo, harakati za kimaisha, masomo, kazi, ubunifu, urembo pamoja na mengine mengi yanayowazunguka. Yeyote anayefanya mazuri kuhusu lugha hii, utamkuta hapa. Kwa lugha nyepesi tunaweza kusema, "hii ndio nyumba ya Kiswahili Ulimwenguni!" Jaribu leo kufungua www.swahiliabroad.blogspot.com

No comments: