M23 wamwogopa Ban Ki Moon!

Goma DRC

Katibu mkuu wa UN BAN-KI-MOON akitemblea Mji wa Goma huko mashariki mwa DRC akishindikizwa na kiongozi wa Benki ya Dunia

viongozi hao wametembelea Mji wa GOMA huku kukiwa na hali ya wasiwasi kufatia mapigano ineyoendelea pembezoni mw Mji huo huku waasi wa M23 wakitwangana na jeshi la serikali ya Congo FRDC .Laki hata hivyo leo hakukusikika mlio wa risasi tangu asubui waasi wa M23 wakisema viongozi hao wapashwa kuheshimiwa na kuwapa muda wakujua picha kamili ya hali ya mambo na chanzo cha mzozo mashariki mwa DRC.

HAPO wako naye Gavana wa JULIEN PALUKU wa Kivu kaskazini wakitoka kwenye uwanja wandege ulieko karibu na mpaka wa Rwanda na DRC.

PICA tumepata kutoka MUSTAFA KEMAL mfanya kazi kunako ofisi ya Gavana Kivu kaskazini.
Katibu mkuu wa UN BAN-KI-MOON akitemblea Mji wa Goma
 huko mashariki mwa DRC akishindikizwa na kiongozi wa Benki ya Dunia.

 Viongozi hao wametembelea Mji wa GOMA huku kukiwa na hali ya wasiwasi kufuatia mapigano yanayoendelea katika mji huo, huku waasi wa M23 wakitwangana na jeshi la serikali ya Congo FRDC. Lakini hata hivyo leo hakukusikika mlio wa risasi tangu asubuhi, Waasi wa M23 walisema viongozi hao wapaswa kuheshimiwa na kuwapa muda wakujua picha kamili ya hali ya mambo na chanzo cha mzozo mashariki mwa DRC.

No comments: