Jeshi la Congo lashambuliwa na M23, leo.

Jeshi la Congo DRC linasema kuwa leo limeshambuliwa na waasi wa M23 katika kijiji cha Muja na RUSAYO.
Msemaji wa jeshi la Congo Kivu kaskazini OLIVIER AMULI alisema kuwa hadi sasa mapigano yanaendelea katika Mbuga ya wanyama ya pori la Virunga kilometa 15 na Mji wa Goma.

No comments: