Salam msomaji

Ni siku nyingi sana zimepita tangu nilipoandikia blog hii. Mizunguko ya kimaisha ya hapa na pale ilinifanya kuwa kimya sana. Nimekuja kuwatakia heri ya mwisho wa mwezi wa septemba na kuwatakia Baraka nyingi kwa mwezi oktoba. Oktoba ni mwezi muhimu sana kwa nchi yetu. Uchaguzi wa madiwani, wabunge, wawakilishi na rais. Litakuwa jambo jema kama tutawachagua viongizi bora watakaotuongiza pale walipoishia wengine. Nawataki heri na Baraka nyingi. Tukutane 25/10/2015.

No comments: