ALICHOANDIKA ZITTO KABWE KUHUSU USAFIRI WA RELI DAR

     Ubinafsishaji wa usafiri wa reli Dar Es salaam - uk. 24 wa hotuba ya Waziri Mwakyembe " .... Wizara kupitia RAHCO itakamilisha mchakato wa kumpata mwekezaji na mwendeshaji wa huduma ya usafiri wa treni ya abiria katika jiji la Dar Es Salaam atakayetumia miundombinu ya reli iliyopo....."
      Kwa nini serikali haikuanza Kwa kuwa na Shirika la Reli Dar Es Salaam kabla ya kwenda kwenye ubinafsishaji? Tumeshafanya tathmini ya ubinafsishaji wa awali wa usafiri wa reli nchini? Tumejifunza nini?

No comments: