NIGERIA BADO HALI SI SHWARI!


Vita vyashika kasi dhidi ya Boko Haram hali iliyoilazimu serikali kutoa amri ya kutotoka nje usiku katika jimbo la Adamawa nchini Nigeria.Jimbo hilo limeungana na mengine mawili ya kaskazini mashariki ya, Borno na Yobe, ambako serikali inasema kuwa wanajeshi wameanza oparesheni kubwa dhidi ya wapiganaji wa kiislamu wa kundi la Boko Haram .

No comments: