
Miili mingine ilichukuliwa na jamaa kuzikwa kwao. Jumla ya miili 332 haikupatikana. Kila mwaka, ifikapo Mei 21 tunawakumbuka waliopoteza maisha katika ajali hii. MV Bukoba ilijengwa na kampuni ya Kibelgiji na ilizinduliwa 27 Julai 1979. Mungu aendelee kuwalaza mahali pema peponi waliopoteza maisha na kuwafariji waliopotéza maràfiki na wanafamilia.
No comments:
Post a Comment