Flaviana Matata na Fastjet katika kumbukumbu ya Mv Bukoba leo, Mwanza

Mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata na fastjet watakuwa kwenye kumbukumbu ya waliofariki katika ajali ya MV Bukoba Mwanza, leo Jumanne tarehe 21 Mei.

Njoo ujumuike nasi katika kuwakumbuka wale waliopoteza maisha katika ajali hii, kukabiliana na  changamoto na kubadilishana mawazo juu ya nini kifanyike katika kuhakikisha usalama wa usafiri wa majini.
Mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata na fastjet watakuwa kwenye kumbukumbu ya waliofariki katika ajali ya MV Bukoba Mwanza, leo Jumanne tarehe 21 Mei.
 Njoo ujumuike nasi katika kuwakumbuka wale waliopoteza maisha katika ajali hii, kukabiliana na changamoto na kubadilishana mawazo juu ya nini kifanyike katika kuhakikisha usalama wa usafiri wa majini.

No comments: