
Mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata na fastjet watakuwa kwenye kumbukumbu ya waliofariki katika ajali ya MV Bukoba Mwanza, leo Jumanne tarehe 21 Mei.
Njoo ujumuike nasi katika kuwakumbuka wale waliopoteza maisha katika ajali hii, kukabiliana na changamoto na kubadilishana mawazo juu ya nini kifanyike katika kuhakikisha usalama wa usafiri wa majini.
No comments:
Post a Comment