ZITTO KABWE ON TALK.

"Waziri wa Viwanda na Biashara ameagiza mabadiliko ya kanuni katika Sheria ya Hakimiliki ili kuhakikisha kwamba Wasanii wa muziki hapa nchini wanapata mapato stahiki katika biashara ya #RBT . Mirahaba katika biashara ya miito ya simu na matangazo ya televisheni na radio Ni mapato muhimu sana Kwa wasanii. Angalau sasa tunaona Mwanga. Tutaendelea kuishinikiza serikali kulinda wasanii na Hakimiliki zao." amesam Zitto Kabwe katika ukurasa wake wa facebook, muda mfupi uliopita.

No comments: