Prof. Jay awa mwanachama wa Chadema, rasmi.

Prof. Jay akikabidhiwa kadi Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi
Prof. Jay akikabidhiwa kadi na Mbunge wa
Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi

Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule,"Prof. Jay), ametangaza rasmi kujiunga na chama kikubwa cha upinzani nchini, Chama Cha Deomokrasia na Maendeleo (CHADEMA.).
Alitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma alipokwenda kuhudhuria moja ya vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vinavyoendela mjini humo.

No comments: