USISEME KAVUMBAGU, SEMA....



 
Hadi dakika 90 zinamalizika Yanga ilikuwa inaongoza kwa holi 2 bil majibu kutoka kwa Yanga.
Dakika ya 28 Simba walipata penati, akapiga Mussa Mudde na kukosaDk 27 PENALLLLTTY......! Simba inapata penalti baada ya Cannavaro kumchezea vibaya Mrisho Ngassa.
Didier Kavambagu anaipatia Yanga bao la kuongoza
Dakika ya 63, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la pili - Young Africans 2 - Simba SC 0

Jamaa baada ya kumalizika kwa match hii, akakutwa analia maeneo ya Msimbazi..


1 comment:

Anonymous said...

ha haaa haaa! lazima tuwapakate!!