AGNESS MASOGANGE:SIKWENDA SAUZI KUJIUZA!


VIDEO Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ (pichani) ameibuka na kusema kuwa hakwenda Afrika ya Kusini ‘Sauz’ kujiuza kama baadhi ya watu walivyompakazia
Akipiga stori na zaidi, Masogange ambaye iliwahi kuvuja video yake ya utupu mwaka jana, alifafanua kuwa picha mpya zinazodaiwa kuwa ni za nusu utupu zilizozagaa mtandaoni, zilisababishwa na ulevi na si kweli kwamba ni za kujiuza.

No comments: