HATARIIIIIIIIII........NIGERIA!

Raisi wa Nigeria Goodluck Jonathan ametangaza hali ya hatari baada ya kutokea milipuko mitatu kwenye miji tofauti ya nchi hiyo.

Kwenye hoja yake anazilaumu jeshi haramu za kiislamu kwa milipuko hiyo ambayo imekuwa ikitokea kuanzia mwaka 2010.
      Raisi wa Nigeria Goodluck Jonathan ametangaza hali ya hatari baada ya kutokea milipuko mitatu kwenye miji tofauti ya nchi hiyo.
        Kwenye hoja yake anazilaumu jeshi haramu za kiislamu kwa milipuko hiyo ambayo imekuwa ikitokea kuanzia mwaka 2010.

No comments: