
Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa chama Chama mapinduzi,
“Vijana ni lazima wawe na mawazo ya kujitegemea kwa kuanzisha miradi mbalimbali ndipo Serikali inaweza kuwasaidia. Ninapokutana na vijana ambao wamejikusanya na kuanzisha mradi kwa lengo la kujiajiri ninafarijika kuchangia fedha ili kuwaongezea nguvu.”
No comments:
Post a Comment