
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Fire, Morogoro jana.
“Wananchi msikubali kuongozwa na watu wasiokubali maendeleo. Tumejenga hospitali wamesema hakuna kitu, tumejenga barabara hawataki, tumetimiza ahadi za maji katika maeneo mengi hawataki, kila kitu hawataki, sasa hawa ni watu wa namna gani? Akili za kuambiwa changanya na zako,”
No comments:
Post a Comment