KUMBUKUMBU YA AJALI YA MELI YA MV BUKOBA KWENYE KITABU!


Kitabu hicho kilichooandikwa na Nyaisa Simango, miongoni mwa abiria walionusurika, kinapatikana katika vituo vifuatavyo:
1. Novel Idea- City Centre na Slip way
2. Soma Book Cafe- Regent Estate
3. Mwenge Best book shop - Mwenge
4. Scholarstica book shop -- Mlimani city
5. Salamander book shop --- City centre
6. General book Seller -- City Centre
7. Dar es salaam Printers -- City centre
8. DUP -- University of Dar es salaam

Arusha
Kase store

Moshi
Mwenge best book shop

Tarime/ Musoma
Gimunta Champion Traders Ltd

Iringa
Tanzania Literature Centre

Baada ya kukisoma nimegundua kuwa ajali ile ya mei 21, 1996, wakati naanza darasa la kwanza, ilitokana na tamaa ya pesa! Ndio, meli ilijaza abiria na mizigo kupita kawaida i.e overcapacity! Check nayo hapa ajali yote

No comments: