Redd's Miss Tanzania ni nani kati ya hawa?



Mkurugeni wa Kampuni ya Lino Agency inayoandaa shindano la Redds Miss Tanzania, Hashim Lundenga (wa pili kushoto) akiwapa somo fupi warembo wanaoshiriki katika shindano la kumtafuta mshindi wa Redd's Miss Dar Indian Ocean jijini Dar es Salaam jana

No comments: