KILA NIKIICHOMEKA INAKATAA!


Duh!Hakuna kitu kilichoniumiza leo kama hiki!Yaani kila nikijaribu kufungua tovuti ya Chuo Kikuu cha Sheffield,inakataa!
Me nang'ang'ania tu sababu nimesikia kuna utamu kwa ajili yetu vijana wa ki-Tanzania!Utamu?Soma hapa!

No comments: